October 6, 2017



Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu jijini Dar es Salaam imemuachia huru Yusuf Manji.

Manji aliyekuwa mwenyekiti wa Yanga, ameshinda kesi ya tuhuma za kutumia madawa ya kulevya.



Manji amefanikiwa kuibuka na ushindi wa kesi hiyo kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu jijini Dar es Salaam, leo.

Wiki iliyopita, mashahidi upande wa Manji walitoa ushahidi wakiwemo madaktari waliokuwa wakimtibu na leo ilikuwa ikisubiriwa siku ya hukumu.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic