HUKU YA MANJI MAHAKAMA YA KISUTU LEO, TAYARI AMETUA MAHAKAMANI Leo ni hukumu ya ile kesi anayotuhumiwa Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Yusuf Manji kuhusiana na kutumia madawa ya kulevya. Tayari Manji amewasili katika mahajama ya Kisutu kwa ajili ya zoezi la usomaji hukumu hiyo.
0 COMMENTS:
Post a Comment