October 3, 2017


Mshambuliaji wa Brazil, Neymar ameumia kidole akiwa katika mazoezi ya kikosi hicho.

Brazil inajiandaa kuivaa Bolivia na Chile katika mechi za kuwania kucheza Kombe la Dunia, Hata hivyo, Brazil wameishafuzu.


Imeelezwa Neymar anayechezea PSG ya Ufaransa ameumia lakini si kwa kiwango kikubwa cha maumivu.

1 COMMENTS:

  1. Neymar a été inspiré par Lionel Messi, Cristiano Ronaldo, Andrés Iniesta, Xavi et Wayne Rooney.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic