November 15, 2017




Mshambuliaji Mtanzania, Thomas Ulimwengu ameondoka katika klabu yake ya AFC ya nchini Sweden na kwenda Ubelgiji ambako sasa anafanya mazoezi na kikosi cha KRC Genk.

KRC Genk ndiyo klabu anayoichezea Mtanzania mwingine Mbwana Samatta.


Ulimwengu ambaye ni majeruhi wa goti, ameamua kufanya mazoezi huku akipata matibabu chini ya wataalamu wa klabu ya Genk ambao sasa wanafanya kazi ya kumtibu Samatta ambaye siku chache zilizopita amefanyiwa upasuaji.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic