November 18, 2017


Chelsea imeshangilia ushindi mwingine wa EPL kwa kuichapa Wes Borm kwa mabao 4-0.

Wakati inashinda kwa idadi hiyo, kiungo wake Eden Hazard anaonekana kuamka baada ya kufunga mabao mawili.

Wengine waliofunga ni Alvaro Morata na Alonso ambao kila mmoja alifunga bao moja.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic