Manchester United wamekwea treni hadi jijini London na tayari wamewasili.
Kutoka Manchester hadi London ni mwendo wa saa mbili na dakika 5 hadi 15 na kilichowaplekeka ni shughuli ya leo.
Man United wan a kazi darajani, yaani Stamford Bridge watakapowavaa wakali Chelsea.
Kazi haitakuwa rahisi na Manchester lazima washinde kuhakikisha hakuna pengo kubwa kati yao na Manchester City ambao wameisshaanza kuwaacha.
0 COMMENTS:
Post a Comment