Msemaji wa Simba, Haji Manara ameweka mbwembwe pembeni na kueleza maumivu yake baada ya kikosi cha Simba kuvuliwa ubingwa wa Kombe la Shirikisho na timu ya daraja la pili.
Manara ameandika mtandaoni akieleza maumivu hayo baada ya Simba kuvuliwa ubingwa kwa mikwaju ya penalti na Green Worrioes inayoshiriki Ligi Daraja la Pili.
fukuzeni kochaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeleteKweli yule kocha ni tatizo afukuzwe tuu..kila siku anasajiliwa wachezaji lakini wapi
ReplyDelete