Klabu ya Chelsea imemalizana na mshambuliaji wa Arsenal, Oliver Giroud.
Giroud aria wa Ufaransa anabaki London kama alivyotaka, safari akiwa Chelsea baada ya klabu hiyo kulipa pauni million 18 kumnasa.
Mshambuliaji huyo analazimika kuondoka baada ya Arsenal kumsajili, Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Borussia Dortmund.
0 COMMENTS:
Post a Comment