Pierre-Emerick Aubameyang na Henrikh Mkhitaryan wamekutana tena na kuungana pamoja.
Wawili hao waliwahi kucheza pamoja katika kikosi cha Borussia Dortmund cha Ujerumani.
Wawili hao wamekutana leo katika mazoezi ya Arsenal wakati Aubameyang rasmi akitua na kujiunga na Arsenal akitokea Dortmund wakati mwenzake alijiunga na Arsenal hivi karibuni akitokea Man United.
0 COMMENTS:
Post a Comment