Tayari JKT Tanzania wameshawasili mjini humo wakiwa wamekamilisha maandalizi yao kuelekea pambano hilo litakaloanza saa 10 kamili jioni.
Mshindi wa mechi hiyo ataungana na Mtibwa Sugar FC katika hatua ya fainali itakayopigwa June 2 2018 kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha.
Mtibwa walitinga fainali kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Stand United, katika mchezo uliopigwa mjini Shinyanga kwenye dimba la CCM Kambarage.
0 COMMENTS:
Post a Comment