KOMBE LA DUNIA URUSI LEO NI ZAMU YA BRAZIL, MECHI ZINGINE KWA UJUMLA HIZI HAPA
Michuano ya Kombe la Dunia huko Urusi inaendelea tena Jumapili ya leo kwa jumla ya mechi tatu kupigwa.
Brazil ambao wametwaa ubingwa wa mashindano hayo mara tano watakuwa wanacheza na Switzerland, wakati Ujerumani watakuwa wanakipiga na Mexico.
Ratiba kamili ya mechi za leo hii hapa.
Uwezekano wa Argentina kuangukia pua na kutovuka raundi ya kwanza upo mkubwa. Hali inatisha kweli kweli katika kila kundi kule urusi kwani hakuna timu ndogo uwanjani mpira unapigwa kweli kweli.
ReplyDelete