September 13, 2020

 


LEO Septemba 12, Yanga itawakaribisha Mbeya City Uwanja wa Mkapa majira ya saa 1:00 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.

Hiki hapa kikosi cha Yanga kikosi kitakachoanza leo dhidi ya Mbeya City

.

1. Metacha Mnata.

2. Shomari Kibwana.

3. Mustapha Yasin.

4. Lamine Moro.

5.Bakari Mwamnyeto.

6. Tonombe Mukoko.

7. Deus Kaseke.

8. Feisal Salum.

9. Michael Sarpong.

10.Haruna Niyonzima.

11.Tusila Kisinda.


Wachezaji wa akiba

 Kabwili

 Makapu

 Mauya

 Carlinhos

 Sogne

 Adeyum

 Nchimbi

6 COMMENTS:

  1. Kikosi kizuri tu, Mungu awe nasi

    ReplyDelete
  2. Kaseke ajitahidi kumalizia vizuri nafasi za wazi vinginevyo benchi litamhusu

    ReplyDelete
  3. Sema mi ningependa pia waziri Jr angejumuishwa tuone uwezo wake

    ReplyDelete
  4. Kwhy sisi Mbeya city hatuwekewi kikosi si ndio?

    ReplyDelete
  5. Mbeya city hawamwez Yanga japo mi Simba

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic