July 5, 2018





Lipuli FC imeimarisha safu yake ya ushambulizi kwa kumsajili Mkongwe, Paul Nonga.

Nonga anaziba pendo lililoachwa na Adam Salamba ambaye amejiunga na Simba.

Nonga amejiunga na Lipuli kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Mwadui FC.

Nonga alirejea Mwadui FC akitokea Yanga ambayo aliichezea kwa msimu mmoja tu kabla ya kuomba kuondoka.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic