August 21, 2018



Serengeti Boys imewaonyesha Watanzania inaweza baada ya kuitwanga Rwanda kwa mabao 4-0 huku mshambuliaji wake Kelvin John akipiga hat trick.

John alipiga mabao matatu huku akitoa pasi ya bao moja lililofungwa na Agiri Ngoda.

Mashabiki muda wote kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Saam, walikuwa wakishangilia kwa nguvu wakati Serengeti Boys wakionyesha soka safi la kitabuni.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic