September 1, 2018


Mjasiriamali ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu, john Malecela, William Malecela maarufu kwa jina la Lemutuz amesema amemuomba msamaha Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango kufuatia kauli yake kuhusu mkontena ya RC Paul Makonda yaliyokamatwa bandarini kwa kushindwa kuyalipia kodi.

Lemutuz amesema kwa uelewa wake alidhani baada ya makontena hayo kukamatwa, samani zote zilizomo ndani zingepelekwa na kugawiwa mashuleni, lakini baada ya Rais Magufuli kufafanu juzi kwamba mwenye mamlaka ya kupokea misaada ni Waziri wa Fedha pekee, hivyo Lemutuz aliielewa sheria, amemuomba msamaha Waziri na kuiachia serikali ifanye maamuzi.


1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic