October 14, 2018


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, jana Oktoba 13, amefunga tamasha la Urithi Festival.

Kilele cha tamasha hilo kimefanyika  mkoani Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Mkoa huo, Mrisho Gambo.

Tamasha hilo limehudhuriwa pia na baadhi ya wasanii wa Bongo Fleva akiwemo Jux, Nandy, Bushoke, Alikiba na msanii mkongwe wa nyimbo za asili, Mrisho Mpoto.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic