Mtazamo wake huo Chukua hii 4:2:3:1 Kipa; Razak abalola Beki; kapombe, kangwa, nyoni na yondan DMD; mkude na Feisal ADF; ajibu, chama na HD CF; Ambokile au makambo
Jamani mbona munataka kuipa yanga homa. Sifikiri kama Ajib na Yondani kweli watarejea nyumbani kwasababu wengi wanajigamba huku mitaani kuwa wachezaji wa yanga wana uzalendo na mapenzi ya hali ya juu kinyume na wachezaji wa timu nyenginezo kuwa wameridhia kubakia katika timu hiyo yao hata bila ya malipo ya stahaki zao
Hivi unamuachaje makambo hapo halafu unamuuingiza yule miguvu kagere weka watu wenye akili zao humo
ReplyDeleteMtazamo wake huo
ReplyDeleteChukua hii
4:2:3:1
Kipa; Razak abalola
Beki; kapombe, kangwa,
nyoni na yondan
DMD; mkude na Feisal
ADF; ajibu, chama na HD
CF; Ambokile au makambo
Jamani mbona munataka kuipa yanga homa. Sifikiri kama Ajib na Yondani kweli watarejea nyumbani kwasababu wengi wanajigamba huku mitaani kuwa wachezaji wa yanga wana uzalendo na mapenzi ya hali ya juu kinyume na wachezaji wa timu nyenginezo kuwa wameridhia kubakia katika timu hiyo yao hata bila ya malipo ya stahaki zao
ReplyDeleteWe bwege jaribu kujiongeza, Manara amekitaja kikosi bora cha ligi siyo cha Simba
Deletekama Boko yupo ndani hicho sio kikosi bora si ajabu kina Manara ndio wanashikiniza Boko apangwe wakati uwezo umepungua
ReplyDelete