VIDEO: KUMTEMA KAKOLANYA KISHA KUMSAJILI BOBAN, KUTAISAIDIA VIPI YANGA?
Ni sehemu ya kipindi cha Sports AM cha Desemba 15, 2018 ambapo ulimwengu wa michezo uliamka na taarifa za Kocha wa Yanga kumtema rasmi kipa wake Beno Kakolanya, huku mjadala juu ya klabu hiyo kumsajili kiungo Haruna Moshi ‘Boban’ ukizidi kuwa mkubwa.
This comment has been removed by the author.
ReplyDeleteHuu ni upuuzi usyo kuwa na mfano.
ReplyDeleteHuyu kocha pumbavu, why asimteme kindoki pesa anazolipwa apewe kakolanya
ReplyDeleteWanaodai unaambiwa wapo 10, hizo pesa za kindoki zinatosha? Style ya madai ya Kakolanya ni ya hovyo na inahatarisha umoja wa team
Deletetumetatua tatizo kwa muda mfupi. binafsi naona atasaidia kwa gme zilizosalia
ReplyDeleteSure, Kakolanya ni mfanyakazi, sio shabiki wa Yanga, kwa matatizo yaliyopo yanga tunahitaji wachezaji wawe wazalendo kidogo. Coach yupo sahihi
DeleteSure, Kakolanya ni mfanyakazi, sio shabiki wa Yanga, kwa matatizo yaliyopo yanga tunahitaji wachezaji wawe wazalendo kidogo. Coach yupo sahihi
DeleteKila kazi ina mwenyewe, kwa sasa kocha ndiyo mwenye dhamana,sabab zilizimfanya Kakolanya atemwe ni tofauti na sabubu za kusajiliwa kwa Boban. Kimsingi kakolanya amefanya makosa yanayoweza kushusa moral ya team, na kurudi kwake kikosini pia kungeleta matatizo coz watu wenye madai kma yeye wapo wengi na hawakulipwa mpaka sasa. Kwa matatizo yaliyopo yanga tunahitaji mchezaji mwenye moyo wa kishabiki. Unaondokaje kambini na team ina match kibao
ReplyDeletetumetatua tatizo kwa muda mfupi. binafsi naona atasaidia kwa gme zilizosalia
ReplyDeleteTusichanganye vitu jamani,tusilinganishe viwango vya wachezaji hawa wawili ili kupata justification kuwa Yanga wamekosea kumuacha Kakolanya.Tuangalie sababu za Kakolanya kutokuwa Yanga tena na sababu za Boban kujiunga Yanga kamwe hazifanani.
ReplyDeleteYanga imeachana na Kakolanya kwa staili yake aliyotumia kudai maslahi ambayo ingesababisha mvurugiko timu nzima sababu anayedai sio yeye tu kocha alishawahi kusema wapo zaidi ya 10.