UONGOZI wa Simba umesema kuwa malengo makubwa ya timu hiyo kwa sasa ni kushindana na timu kubwa ndani ya Afrika huku ukisema kuwa masuala mengi ambayo yamefanywa na watani zao wa jadi, Yanga walishayafanya wao pia nyuma.
Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara ameyasema hayo leo Septemba 24 alipofanya ziara ndani ya Global Group ambao ni wachapishaji wa magazeti ya Championi na Spoti Xtra alipokuwa akizungumza na Watanzania kupitia +255 Global Radio.
Manara amesema“Walichokifanya Yanga SC kuhusu kufungua duka la jezi sisi tulishafanya miaka minne iliyopita, sisi tuna malengo makubwa sasa hivi na tuko mbali sana, duka sio ishu kwetu.
“Sisi tunashindana na Al Ahly na Casablanca FC kwenye mitandao ya kijamii, unatulinganishaje na Yanga SC? Chukua akaunti yetu ya Instagram, linganisha na ya kwao, chukua akaunti yao rasmi, viongozi na akaunti za wachezaji wao hawatufikii."
Sijaona alichokisema chenye maana hata kuandikwa kwenye blog. Wanashindana na Al Ahl mtandaoni badala ya uwanjani? Hilo duka lao liko wap?
ReplyDelete🤫🤫 funga mdomo ewe utopolo, mambo hyo tushapita kitambo. Uwanjani huoni tunapambaba Hadi robo sasa tunawaza kuvuka hpo kimafanikio. Sasa ww bdo unawaza kuunda miundo mbalimbali ya bilauzi kuwavalisha wachezaji na mashabiki wenu.
DeleteAlichokisema manara Ni uongo kwn?
DeleteKama huna kakuchangia kalale
Kwan hiyo robo bado unaiwaza? Mwaka jana mlifika wapi? Mwehu kabisa wewe; yaani unajidanganya ww na mikia wenzako kujilinganisha na Al Ahly kweli? Ama hakika Manara kawaroga vibaya sana. Mmelishwa hnga wa ndere bila kujijua
DeleteUtopolo bdo hajaelimiks mtaishia kuvalishwa pampers tu, ubingwa msahau
DeleteAnaongea mvuke tu..hehehe... mtandaoni? Midomo mirefu lazima uongoze mitandaoni badala ya uwanjani?
DeleteNi kweli kabisa! Alichosema ni takataka, CRAP! Kama mlevi fulani hivi! Duka la Simba lipo wapi? Katika ofisi za METL? Hivi makao makuu ya Simba hivi sasa yako wapi?
Deleteambacho hukijui ni kwamba kipindi cha kina Aveva simba walishafungua duka la kuuza vifaa vya simbaa
ReplyDeleteSasa kama walifunga wao wanapondaje sisi kuwa na duka?
DeleteSimba wapo juu sana Utopolo tumewaacha mbali
ReplyDeleteMikia mpo mbali kwa kukopwa timu na Mo na kuwaziba mdomo kwa kuwanunulia mechi? Kama mjanja kweli alipe 20 Bilioni tuone.
DeleteHivi ile mechi nyie nyani mliopigwa 4g mlituuzia shs ngapi?
DeleteSimba wapo juu sana Utopolo tumewaacha mbali
ReplyDeleteWametuacha mbali kivipi? Huna hoja kabisa kumbe
DeleteHaji manara hana mbele wara, nyuma tushagampa jina chizi wa jiji
ReplyDeleteDuka la vifaa vya michezo au frame ya nguo za michezo...85% jezi...acheni utani!!
ReplyDeleteNinyi mnalo?
DeleteSorry nilikuwa na maana mikia uzi (iliyokonda)
DeleteUtopolo manji aliwalewesha sana mpaka sasa kilevi hakijaisha,poleni sana.
Deleteyanga washindane na lipuli singida na gwambina sio simba halafu mashabiki wa yanga msilazimishe et tuko sawa na ninyi usifosi pambaneni na hali zenu
ReplyDeleteNyie mnabishana na YANGA AFILIKA hao kazi kufilika mlikuwa hamjui
ReplyDeleteHongera manara kwa kuolewa na mwamedi...naona couple iko vizuri mpaka mshawapagawisha mashabiki
ReplyDeleteGSM alishawaoa kitambo mpaka mnambeba kiongozi wa BWANA wenu, kweli utopolo Ni make mwema.
DeleteUkioa utopolo umepata mke mwema
Delete