Baada ya kuwatembezea kichapo kitakatifu Mbabane Swallow, juzi Jumatano kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, kikosi cha Simba kinatarajia kuwafuata wapinzani wao keshokutwa Jumapili kwa ajili ya mchezo wa marudiano.
Mechi hiyo ambayo inatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa itachezwa Desemba 4, mwaka huu kwenye Uwanja wa Mavuso Sport Centre uliopo jijini Mbabane nchini Eswatini.
BONYEZA HAPA ===> SALEH JEMBE SPORTS
👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆
Kwa wasomaji wa Blog yetu pendwa ya michezo akikisha una nifollow INSTAGRAM kwa kubonyeza link iliyopo hapo Juu tutakudodoshea Upates zote za michezo kuanzia sasa.
Asante
BONYEZA HAPA ===> SALEH JEMBE SPORT
0 COMMENTS:
Post a Comment