HUSSEIN BASHE AWAKATAA SIMBA WALIOPIGWA TANO NA WAARABU Mbunge wa jimbo la Nzenga katika mkoa wa Shinyanga, Hussein Bashe, ameandika ujumbe kupitia mtandao wake wa Instagram baada ya Simba kufungwa mabao 5-0. Usome hapa
Sio shinyanga ni tabora mkuu au njenga impelekwa shinyanga
ReplyDeleteNawewe ni Wale wale Siyo Njenga ni Nzega
ReplyDeleteSimba hovyooo.Tunashudia brand ya kuwa klabu imara kwa ngazi za kimataifa kutoka Tanzania ikibomolewa kama masihara vile. Wahusika mpo wapi?
DeleteYaani hata mwandishi nae arudii shule kama nzega anaandika Nzenga na hiyo sio shinyanga ni Tabora. Mwandishi bure kabisa
DeleteSimba shoga anasubiri kung'atwa ila tano wakati mmoja walikutana na mwanamme wa ukweli hatari .
ReplyDeleteHahahahaa kuwa mshabiki wa Simba inahitaji uwe na moyo wa chuma
ReplyDeleteDah sio uongo
DeleteMnapenda kuangalia writing error tu hamjadili swala la msingi.
ReplyDelete