VIDEO: ZAHERA ALIIPA SIMBA USHINDI
Kipindi cha Spoti Hausi kilikuwa hewani kukuletea mambo mengi, lakini kubwa zaidi mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara zinazoendelea, mechi ya Simba na Yanga iliyopita, wapi Simba walikosea na wapi Yanga walikosea, pamoja na mambo mengine mengi.
Zahera aliipa ushindi Simba au Patric Ausems aliipa ushindi Simba kwa kugundua madhaifu ya Zahera? Yaani kufungwa goli moja Yanga na Simba inaonekana kama kashinda na kitu muhimu hapa ni points 3. Zahera na Yanga walitumia mbinu zote wanazozijua wao ili waifunge Simba lakini matokeo amepigwa pale Taifa kwanini watu wanashindwa kumpa heshima yake kocha wa Simba?
ReplyDeleteKaka usibishane na mbumbu ama sivyo utajikuta na wewe unaishia kuitwa mbumbu maana watashindwa kutofautisha nani ni mbumbu.Yanga aliingia uwanjani ili ashinde na sio kushindwa.Ndio maana Yanga alitumia mbinu za kimpira ili ashinde lkn alizidiwa mbinu na Simba.Ubao wa uwanjani ulisomeka FT Yanga 0 Simba 1...na possession Yanga 40% na Simba 60%.Sasa kwa takwimu hizo sijui utabishana nini zaidi ya kuishia ulimbukeni tu.
DeleteKwa maoni yangu naiona Simba inazidi kupandisha kiwango na imeanza kucheza soka lenye malengo na la kitabuni lkn wazidi kujituma hasa na kuongenza wachezaji wa beki ya kati na mshambuliaji mwingine mwenye nguvu kama Meddie Kagere.