Bilo alisema kuwa Simba ni timu ya kawaida mno akiifananisha sawa na Singida United, Ndanda na zinginezo.
Baada ya kukutana hapo jana, Simba ilifanikiwa kuilaza Stand jumla ya mabao 2-0 yaliyofungwa na John Bocco.
Kupitia ukurasa wa Instagram, Manara amemjibu hivi Bilo
0 COMMENTS:
Post a Comment