March 16, 2019


Licha ya AS Vita ya DR Congo kupenyezewa taarifa kibao kuwa­husu Simba kutoka kwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera ambaye ni Mkongo mwenzao, la­kini Aussems ametamka kuwa hata iweje Vita watakufa.

Vita tayari wapo Dar baada ya kutua usiku wa kuamkia juzi Alhamisi wakiwa tayari kwa ajili ya kupambana na Simba katika mechi ya mwisho ya Kundi D itakayochezwa leo Uwanja wa Taifa.

Wiki iliyopita Zahera alisema wazi kuwa atawapa mbinu Vita na yote anayofahamu kuhusu Simba kwa kuwa kocha wa Vita ndiye bosi wake katika timu ya taifa ya DR Congo na kwake siyo tatizo kutoa maoni yake anayofa­hamu licha ya kutambua hicho siyo kigezo sahihi kwa Simba kushinda.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira na Muungano, January Makamba ndiye ambaye anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa mchezo huo.

7 COMMENTS:

  1. Zahera alishindwa kumzuia kagere kutetema , ni siri gani anazoweza kuwapa As vita za kumzuia kagere

    ReplyDelete
  2. Kila mtu hupenda apendacho,🐒0 vs 2 vita

    ReplyDelete
  3. Kila mtu hupenda apendacho,🐒0 vs 2 vita

    ReplyDelete
  4. Kaikimbia yanga iliyomleta halafu anajigamba kuipenda

    ReplyDelete
  5. Hakuwa muadilifu kwa kazi yake baada ya kuikimbia yanga

    ReplyDelete
  6. Work pymepay yake nchini apa ajui kuwa ni yanga ina mfanya ajulikane arafu ana usaliti ngoja akipate cha moto this is simba chama kubwa

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic