April 9, 2019


MWAMUZI ambaye atachezesha mchezo kati ya TP Mazembe na Simba, aliyeteuliwa na Shirikisho la Soka Barani Africa (CAF) rekodi yake inatisha.

Taarifa imesema kuwa baada ya Primero ya Angola kuitoa TP Mazembe katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu uliopita, wakakutana na Esperance ya Tunisia na Mwamuzi Jani Sikazwe wa Zambia ndiye akaamua mechi ya pili iliyowang'oa Waangola hao ambao walilalamika CAF na Sikazwe akasimamishwa.

Sasa CAF wameipa Simba Sikazwe na kumuondoa mwamuzi kutoka Ethiopia.

7 COMMENTS:

  1. ulichokiandika hapo bila shaka umekielewa mwenyewe

    ReplyDelete
  2. Uandishi wa aina hii ni ukanjanja, ndo maana wengine kuisoma taarifa inayotolewa na vyombo vya habari vya Tanzania na kuiamini imekuwa ngumu sana.

    Kama huna uhakika na taarifa sahihi bora ukae kimya, namna hii mnashusha hadhi ya blog zenu. Kichwa cha habari na habari yenyewe haviendani.

    Msifanye wanaosoma blog zenu ni watu wasiojielewa kama wafuasi wa CCM walivyo.

    ReplyDelete
  3. ni kweli kabisa. hili jamaa nilisha sema fala kweli

    ReplyDelete
  4. Wakati mwingine ni kichefuchefu kabisa please angalia kabla hujaleta kwa washika Dau

    ReplyDelete
  5. Mwandhishi atakuwa experience yake ni kuweka comments instagram huyu!!

    ReplyDelete
  6. Wewe ni mwandishi au mtunga insha...?

    ReplyDelete
  7. Jamani eh huenda ndicho walichosema CAF

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic