May 16, 2019



Ripoti zilizosambaa kwa kasi hivi sasa mitandaoni zinaeleza kuwa klabu ya Horoya AC kutoka Guinea imemsajili mshambuliaji wa Yanga, Heritier Makambo.

Straika huyo Mkongo amejiunga na miamba hao ikiwa haijulikani namna alivyoondoka Yanga mpaka kufikia maamuzi hayo.

Ripoti zimesema kuwa Horoya wameingia mkataba wa miaka mitatu na mchezaji huyo.



15 COMMENTS:

  1. Ooooooh¡!!mtambo wa mabao pale jangwani unaelekea kuyumba sasa...Bila shaka yanga itashusha kifaa cha 40goals kwa msimu ujao

    ReplyDelete
  2. safi saana Yanga...ndiyo madara ya kucheleweshea wachezaji mikataba na mishahara... fukuzieni Tuyisenge sasa

    ReplyDelete
  3. Si mzuri saana huyo makambo....ila kwa klabu kama Yanga alionekana mzuri

    ReplyDelete
  4. Utawaambia nini wanayanga wewe Mwenyekiti.....lakini si ana mkataba na Yanga?....nyie viongozi wapya mtafukuzwa na bakora....hamuijui Yanga

    ReplyDelete
  5. Chezea Zahera wewe anauma na kupulizia na watani zetu wanamuona mfalme kumbe jamaa yuko kibiashara zaidi.Mfukuzieni kizee chetu Bocco.

    ReplyDelete
  6. Jamaa alikuwa na hamu na Uzi mwekundu

    ReplyDelete
  7. Kazi Kama bado ana mkataba na yanga hawezi kusaini Club ingine unless otherwise

    ReplyDelete
  8. Hskuna haha ya panic, si kapewa uhuru Zahera kuchaguwa wachezaji anaowataka wa bei wanayoitaka, ikiwa WA nje au WA ndani au ilikuwa hiyo ni janja kwaonesha nyota wenu kuwa hela ipo wasijekuingia mitinini,?

    ReplyDelete
  9. YANGA BUANAA WANA BALAA ETI BADO WANA MATUMAINI YA KUCHUKUA UBINGWA WA LIGI YA TPL. WAMEBAKIZA MECHI 2 WANA POINTI 83. SIMBA INA POINTI 85 IMEBAKIZA MECHI 4. SASA NAJIULIZA SIMBA HUYO NI SIMBA MZEE WA KUFUGWA AU SIMBA NAYEMJUA MIMI ANAYEWINDA MSITUNI? WEE MAKAMU MWENYEKITI CHONDE CHONDE USIWAPE MATUMAINI MASHABIKI WA YANGA JIPANGENI KWA MSIMU UJAO HUU WA SASA MBONA UMEISHA. SIMBA BINGWA.

    ReplyDelete
  10. Uongozi huu mpya usiporudisha furaha ya wanayanga kwa kufanya usajili wiki hii moja au mbili hautadumu, wanachoka na machungu na kudhihakiwa mtaani kila habari inayotoka inawaumiza wamechoka maneno tutafanya, tuko kwenye mchakato au Ninategemea kusajili, hayo maneno matupu na ahadi hewa, hakuna kinachofanyika mnajenga chuki kubwa mioyoni mwa nafsi zao...........wanayanga sio wavumilivu watazileta fito na bakora!! Wakikumbuka kilichotokea mwaka 1975....Kwahiyo UJUMBE MFANYE USAJILI WIKI HII LASIVYO KUNA FUKUTO LINAENDELEA....VURUGU KUBWA INAKUJA!!!!

    ReplyDelete
  11. Bila ya Shaka Mutaalam Zahera kawekewa fungu kubwa juu ya meza na kawavuga viongozi kuwa atarejea baada ya siku change na ati maelekezo you're kamwachia msaidizi wake bila ya kuweka wazi Kwa uongozi sababu ya safari yake ya gafla na kuiwacha Yanga wako panic kuutaka ubingwa na huku ikitajwa kukabidhiwa mabilioni ya kuijenga kikosi

    ReplyDelete
  12. Maandamano makubwa ya wanachama wa Yanga kuupinga uongozi mpya kwa jinsi wanavyoanza kuwaumiza wanayanga yanukia

    ReplyDelete
  13. Kajilipa pesa yake alizowapa wachezaji yanga

    ReplyDelete
  14. Zahera almsajili makambo kwa hela yake bwana so shda iko WAP kumuuza wana chura fc

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic