Yanga kuweni makini na "matapeli na wapigaji"....wanaojiita mawakala...
Naona bado baadhi ya watanzania hawajaridhika na uhalali wa ubingwa aliouchukua Simba...sijui shida iko wapi? maana mimi bado sijaiona!
Tumia akili kufikiria sio makamasi,ubingwa wa kununua ndio maana unapigwa gwala kila mkienda nje ya nchi.
Yanga kuweni makini na "matapeli na wapigaji"....wanaojiita mawakala...
ReplyDeleteNaona bado baadhi ya watanzania hawajaridhika na uhalali wa ubingwa aliouchukua Simba...sijui shida iko wapi? maana mimi bado sijaiona!
ReplyDeleteTumia akili kufikiria sio makamasi,ubingwa wa kununua ndio maana unapigwa gwala kila mkienda nje ya nchi.
Delete