LEO Ligi Kuu Bara inaendelea ambapo timu 10 zitakuwa uwanjani kumenyana kutafuta pointi tatu muhimu kwenye viwanja vitano tofauti kama ifuatavyo:-
Ndanda v Lipuli, uwanja wa Nangwanda.
Mwadui FC v Lyon, uwanja wa Mwadui Complex.
Azam v Mtibwa, uwanja wa Azam.
Yanga v Mbeya City, uwanja wa Uhuru.
Alliance FC v Stand United, uwanja wa Nyamagana.
Naona bado baadhi ya watanzania hawajaridhika na uhalali wa ubingwa aliouchukua Simba...sijui shida iko wapi? maana mimi bado sijaiona!
ReplyDeleteHao ni wale waliokuwa na tamaa ya ubingwa na kujikuta hawana lao Jambo mbele ya mama na kubaki wakiweseka
ReplyDelete