May 23, 2019

8 COMMENTS:

  1. Watalii Tu Hao,Hawajafika Kucheza Mpira Wamekuja Kutalii!

    ReplyDelete
  2. Wamekuja kucheza na Mnyama mkali bingwa WA Tanzania na wala sio Ile timu njaa

    ReplyDelete
  3. Hata Kama Wakisawazisha Lakini Bocco, Kagere, Chama Dunia Imesha Watambua Swali La Kizushi Ni Simba Wanatuhumia Na Zahera Kwa Kuhonga Je Sevilla Wamepewa Sh. Ngapi?

    ReplyDelete
  4. Sub Ya Ajabu Kweli Hi Mech Ilikuwa Ni Mhim Kihistoria Ilifaa Tushinde

    ReplyDelete
  5. Simba kuna haja ya kuondoa baadhi ya wachezaji wengine kwakweli viwango ni vya chini mno...Mo Ibrahim, Mzamiru, Salamba, Gyan, Zana, Rashid Juma, nk....ukiangalia cream ya wachezaji ya ushindi ni hawa....Manula, Nyoni, chama, Niyonzima, Mkude, Bocco, Kagere na Chama, kidogo....Dilunga, Mlipili, Dida na Wawa

    ReplyDelete
  6. Kocha kanikera na sub zake za mwisho sio lazima kila mtu acheze salamba hovyooo.

    ReplyDelete
  7. nimeona "lazy men" wawa kabutua vazquez kaunasa jamaa kapuliza offside, shameless kabisa, hajifunz hata kwa kambuzi?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic