Hata Kama Wakisawazisha Lakini Bocco, Kagere, Chama Dunia Imesha Watambua Swali La Kizushi Ni Simba Wanatuhumia Na Zahera Kwa Kuhonga Je Sevilla Wamepewa Sh. Ngapi?
Simba kuna haja ya kuondoa baadhi ya wachezaji wengine kwakweli viwango ni vya chini mno...Mo Ibrahim, Mzamiru, Salamba, Gyan, Zana, Rashid Juma, nk....ukiangalia cream ya wachezaji ya ushindi ni hawa....Manula, Nyoni, chama, Niyonzima, Mkude, Bocco, Kagere na Chama, kidogo....Dilunga, Mlipili, Dida na Wawa
Watalii Tu Hao,Hawajafika Kucheza Mpira Wamekuja Kutalii!
ReplyDeleteWamekuja kucheza na Mnyama mkali bingwa WA Tanzania na wala sio Ile timu njaa
ReplyDeleteHata Kama Wakisawazisha Lakini Bocco, Kagere, Chama Dunia Imesha Watambua Swali La Kizushi Ni Simba Wanatuhumia Na Zahera Kwa Kuhonga Je Sevilla Wamepewa Sh. Ngapi?
ReplyDeleteSub Ya Ajabu Kweli Hi Mech Ilikuwa Ni Mhim Kihistoria Ilifaa Tushinde
ReplyDeleteSimba kuna haja ya kuondoa baadhi ya wachezaji wengine kwakweli viwango ni vya chini mno...Mo Ibrahim, Mzamiru, Salamba, Gyan, Zana, Rashid Juma, nk....ukiangalia cream ya wachezaji ya ushindi ni hawa....Manula, Nyoni, chama, Niyonzima, Mkude, Bocco, Kagere na Chama, kidogo....Dilunga, Mlipili, Dida na Wawa
ReplyDeleteKocha kanikera na sub zake za mwisho sio lazima kila mtu acheze salamba hovyooo.
ReplyDeleteDuh cartoon lion
ReplyDeletenimeona "lazy men" wawa kabutua vazquez kaunasa jamaa kapuliza offside, shameless kabisa, hajifunz hata kwa kambuzi?
ReplyDelete