ZAHERA: UBINGWA ULIKUWA WETU, HATUJASAIDIWA CHOCHOTE - VIDEO Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera alivyozungumzia suala la Simba kuwa bingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2018/19.
Alitataka kusaidiwa spree ubingwa
ReplyDeletehata shirikisho pia ubingwa ulikuwa wenu
ReplyDeleteTena huyu ndio kasaiiwa kutoka malengo ya nafasi ya 6-10 hadi nafasi ya 2,huo siyo msaada kweli,mechi 11 mfululizo ili wapate nauli ya kusafiria,leo unasema hamkusaidiwa......aaah acha mzaha.
ReplyDeleteHuyu haelewekagi mara lengo letu haikuwa ubingwa leo oooh ulikuwa wetu kama sio majani ni nini
ReplyDelete