Taarifa hizi zimesababisha mwenyewe kuibuka na kudai kiasi cha shilingi milioni 45 za kitanzania ili aweze kuondoka.
Imeelezwa kuwa Kindoki anataka fedha hizo ili avunje mkataba na kama asipopewa hawezi kuondoka kwa namna yoyote ile.
Licha ya tetesi za kuachwa na Yanga, awali ilielezwa kuwa Kocha wake Mwinyi Zahera alisema kuwa mabosi wake hawapaswi kabisa kumuacha.
Ilielezwa kuwa Zahera alisema Kindoki asiachwe kwani atakuwa sehemu ya msaada mkubwa ndani ya Yanga kwa msimu ujao.








Hata milioni 20 hafai
ReplyDeleteHapo kinachowatisha Yanga sio kuondoka Kiondoki Bali ni milioni 45 anazozitaka
ReplyDelete