BAADA ya jana kupitia ukurasa wake wa kijamii kuandika kwamba anaondoka kwenye nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba kutokana na timu hiyo kupoteza mchezo wa fainali kwa kufungwa bao 1-0 na Mtibwa Sugar leo Mo amekuja na maamuzi haya kwamba ilikuwa bahati mbaya ilitokea kwenye akaunti yake
Yupo sasa na akili timamu. Kuna vitu vinaudhi unawezajikuta unafanya maamuzi mabaya. Ndio maana tunashauriwa ukipatwa jambo baya usichukue maamuzi ghafla maana yanaweza kuwa sio sahihi. Huyu anaweka pesa pale nje ya mkataba, lazime kichwa ipate moto.
Tatizo ni benchi la ufundi .Lazima wawe wakali kwa wachezaji. Winning mentality haipo kwa wachezaji hawa. Wanafikiri wana haki miliki ya kushinda. Mpira hauwezi kushinda bila juhudi za ziada.
Duuhhhhh!!! Nimekumbuka maneno ya hayati Mwl.Julius.K.Nyerere katika moja ya hotuba zake kuhusiana na kuwategemea matajiri...........imenifanya nifikiri sana
Nani asiyetegemea tajiri kama mtu mwenyewe sio tajiri?Wacheni unafiki .Kama wewe maskini lazima upate msaada wa anayekuzidi kimaslahi.Iwe ni ajira,uwekezaji au msaada.Mataifa yanakuwa tegemezi itakuwa klabu?Tuache unafiki tukubaliane na ukweli.
Akili mgando!!!Upo tayari kuuza utu wako kwa sababu ya umaskini wako!!!Shame on you!!unatakiwa upambane utoke katika hali duni uliyo nayo kuelekea kwenye mafanikio na sio kuwa na udumavu wa akili ukiamini huwezi kuishi bila ya kumtegemea tajiri.Soma historia ya mapambano ya kiuchumi ya nchi za mashariki ya mbali utaelewa.Hebu jiulize utakuwa katika mazingira gani ikitokea huyo tajiri unayemtegemea akaaga dunia!!!si ndo mwanzo wa mahangaiko ya kutafuta hisani ya mtu mwingine ili uweze kuishi na kuishia kudhalilika.Tujenge fikra za kuamini kuwa tunaweza kufanikiwa kwa kukusanya nguvu zetu wenyewe kwa ushirikiano na hao wenye uwezo na wala si kuwategemea kwa kila kitu hata kwa kikombe cha maji tu tuwe tunawasubiri wao watupatie.
ukimsaidia mtu mboga ya samaki basi usimpe samaki mpe ndoano akaloe mwenyewe ili kesho asirudi tena kuomba samaki na kama mo atawazoesha simba kuwapa pesa badala ya kuwafungulia mitaji simba ya kuzalisha pesa kama wafanyavyo club zingine basi simba watakua wanamtegemea mo daima na hamtochekana na Yanga maana wote ni waking bakuli tu!! angalieni club zingine mwenye hela akiondoka wala hawatetereki
Tatizo la mikia siku zote ni kujiona wao ni kila kitu katika soka la Bongo, kitu ambacho wakienda kwenye mechi ya mashindano kila mtu anakuwa amebeba magoli yake mfukoni. Kuna kiongozi mmoja wa zamani wa Mikia Sports Club alishawahi kusema kuwa; kwa kikosi hiki cha Mikia na kocha mpya waliye naye, Timu ya Wananchi itakula goli saba. Mchezo ukapigwa na watu wakachomoa. Jana wamekwenda tena kichwa kichwa na matokeo mfukoni, leo wanataka kocha aondoke. Pumbavu sana hawa.
Huyu jamaa inabidi apimwe......hayuko sawa
ReplyDeleteLoh afadhali umerudi sijui ingekuaje,bado tunakuhitaji boss
ReplyDeleteYupo sasa na akili timamu. Kuna vitu vinaudhi unawezajikuta unafanya maamuzi mabaya. Ndio maana tunashauriwa ukipatwa jambo baya usichukue maamuzi ghafla maana yanaweza kuwa sio sahihi. Huyu anaweka pesa pale nje ya mkataba, lazime kichwa ipate moto.
ReplyDeleteWelldone Mo kuwa mtulivu mpira una matokeo matatu.Pia wachezaji lazima wacheze kwa kujituma sana waache ubishow.Simba Oyeee
ReplyDeleteMgonjwa wa akili huyo,anawafanya simba mandondola
ReplyDeleteTatizo ni benchi la ufundi .Lazima wawe wakali kwa wachezaji. Winning mentality haipo kwa wachezaji hawa. Wanafikiri wana haki miliki ya kushinda. Mpira hauwezi kushinda bila juhudi za ziada.
ReplyDeleteDuuhhhhh!!! Nimekumbuka maneno ya hayati Mwl.Julius.K.Nyerere katika moja ya hotuba zake kuhusiana na kuwategemea matajiri...........imenifanya nifikiri sana
ReplyDeleteNani asiyetegemea tajiri kama mtu mwenyewe sio tajiri?Wacheni unafiki .Kama wewe maskini lazima upate msaada wa anayekuzidi kimaslahi.Iwe ni ajira,uwekezaji au msaada.Mataifa yanakuwa tegemezi itakuwa klabu?Tuache unafiki tukubaliane na ukweli.
ReplyDeleteAkili mgando!!!Upo tayari kuuza utu wako kwa sababu ya umaskini wako!!!Shame on you!!unatakiwa upambane utoke katika hali duni uliyo nayo kuelekea kwenye mafanikio na sio kuwa na udumavu wa akili ukiamini huwezi kuishi bila ya kumtegemea tajiri.Soma historia ya mapambano ya kiuchumi ya nchi za mashariki ya mbali utaelewa.Hebu jiulize utakuwa katika mazingira gani ikitokea huyo tajiri unayemtegemea akaaga dunia!!!si ndo mwanzo wa mahangaiko ya kutafuta hisani ya mtu mwingine ili uweze kuishi na kuishia kudhalilika.Tujenge fikra za kuamini kuwa tunaweza kufanikiwa kwa kukusanya nguvu zetu wenyewe kwa ushirikiano na hao wenye uwezo na wala si kuwategemea kwa kila kitu hata kwa kikombe cha maji tu tuwe tunawasubiri wao watupatie.
Deleteukimsaidia mtu mboga ya samaki basi usimpe samaki mpe ndoano akaloe mwenyewe ili kesho asirudi tena kuomba samaki na kama mo atawazoesha simba kuwapa pesa badala ya kuwafungulia mitaji simba ya kuzalisha pesa kama wafanyavyo club zingine basi simba watakua wanamtegemea mo daima na hamtochekana na Yanga maana wote ni waking bakuli tu!! angalieni club zingine mwenye hela akiondoka wala hawatetereki
ReplyDeleteKwa maamuzi ya Moo jana ana haki zote. Huwezi kucheza game la show wakati watu wanataka ushindani.
ReplyDeleteYaani namfananisha MO na IBRAHIM LIPUMBA......hawana tofauti katika maamuzi waliyochukuwa.
ReplyDeleteWanaotoka povu ni mashabiki wa Chura Kwasukwasu. Kajiuzulu??Uliona wapi mtu kajiuzulu kwa Twitter? Kuna procudere za kufuata .Acheni povu .
ReplyDeleteha ha ha katangaza kujiuzulu jana mkaanza kujinyeanyea komaeni mtu anatumia hela zake kuhonga mpaka marefa halafu mnafungwa, shame to you
ReplyDeleteNi Yanga peke yao tu ndio wanaosonya na kukereka kusikia Mo bado yupo Simba ngangari.
ReplyDeleteTatizo la mikia siku zote ni kujiona wao ni kila kitu katika soka la Bongo, kitu ambacho wakienda kwenye mechi ya mashindano kila mtu anakuwa amebeba magoli yake mfukoni. Kuna kiongozi mmoja wa zamani wa Mikia Sports Club alishawahi kusema kuwa; kwa kikosi hiki cha Mikia na kocha mpya waliye naye, Timu ya Wananchi itakula goli saba. Mchezo ukapigwa na watu wakachomoa. Jana wamekwenda tena kichwa kichwa na matokeo mfukoni, leo wanataka kocha aondoke. Pumbavu sana hawa.
ReplyDeleteKupigwa saba Yanga na Simba is about time.kinachotakiwa kwa wachezaji wa Simba kujitambuabm kidogo tu.
ReplyDelete