July 16, 2019


Hizi ni barua zilizotoka kwa kabidhi Wasii Mkuu wa Serikali kwenda kwa wakili wa aliyekuwa mdhamini wetu, na pia barua ya Mahakama kwenda kwa wakili huyo zinazothibitisha mdhamini huyo Mzee Hamis Kilomoni siyo mdhamini tena wa klabu yetu ya Simba.

Taarifa hii ilitolewa leo na Afisa Mtendaji Mkuu, Crescentius Magori kwenye mkutano wake na wanahabari.



3 COMMENTS:

  1. Hahahahahahahahaha!!! Usije shangaa kusikia mzee Kilomoni akisema wamechakachua

    ReplyDelete
  2. dawa ni kumtimua kabisaaa ahamie yanga hukooo

    ReplyDelete
  3. Hahahaahahaaa!! haya mavyura povu ruksaaaaaaaaaaaa.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic