July 16, 2019


UONGOZI wa timu ya Bayern Munich umethibitisha suala la kuitaka saini ya winga wa Manchester City, Leroy Sane.

Mwenyekiti wa klabu hiyo, Kari Heinz Rummenigge amekiri kuwa klabu yake inaiwinda saini ya nyota huyo wa  Manchester City.

Rumminigge amesema kuwa hata hivyo klabu hiyo inahitaji mkwanja mrefu ili kuwapa nyota huyo.

City wanahitaji dau la shilingi pauni milioni 100 ili kumuachia nyota huyo sawa na shilingi bilioni 286 kumuachia winga huyo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic