JULAI 31
dirisha la usajili kwa wachezaji wa ndani wa Ligi Kuu Bara linafungwa, Yanga bado wapo sokoni kutafuta nyota wakali wawili wa kujiunga na kikosi hicho.
Kaimu Katibu
wa Yanga, Dismas Ten amesema kuwa mpango uliopo ni kuweka nafasi zaidi ya mbili
kwa kila mchezaji ndani ya Yanga ambayo inashiriki michuano ya kimataifa.
Inaelezwa kuwa wachezaji ambao kwa sasa wanasakwa ni mabeki engo likiwa kuchukua nafasi ya Juma Abdul na Andrew Vincent ambao inaelezwa wana dai stahiki zao.
Acha uongo, Mwlamesema analeta striker wewe unatuongopea beki! Lazima ujue Abdul na Dante hawajawahi kuwa kikosi cha kwanza chini ya Zahera.
ReplyDelete