July 30, 2019


JULAI 31 dirisha la usajili kwa wachezaji wa ndani wa Ligi Kuu Bara linafungwa, Yanga bado wapo sokoni kutafuta nyota wakali wawili wa kujiunga na kikosi hicho.

Kaimu Katibu wa Yanga, Dismas Ten amesema kuwa mpango uliopo ni kuweka nafasi zaidi ya mbili kwa kila mchezaji ndani ya Yanga ambayo inashiriki michuano ya kimataifa.

“Bado dirisha la usajili halijafungwa nasi tumebakiza nafasi mbili ambazo tunazifanyia kazi, hivyo muda wowote tunashusha mashine mpya,” amesema.

Inaelezwa kuwa wachezaji ambao kwa sasa wanasakwa ni mabeki engo likiwa kuchukua nafasi ya Juma Abdul na Andrew Vincent ambao inaelezwa wana dai stahiki zao.

1 COMMENTS:

  1. Acha uongo, Mwlamesema analeta striker wewe unatuongopea beki! Lazima ujue Abdul na Dante hawajawahi kuwa kikosi cha kwanza chini ya Zahera.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic