August 1, 2019

KAZI imeanza, timu ya Polisi Tanzania imetambulisha uzi mpya ambao utatumika msimu ujao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara.

Polisi Tanzania ipo chini ya Kocha, Seleman Matola na ni miongoni mwa timu ambazo zitashriki Ligi Kuu Bara msimu ujao.

 Ofisa Habari wa Polisi Tanzania, Frank Lukwaro amesema kuwa watatumia rangi ya Blue wakiwa nyumbani na watatumia rangi nyeupe wakiwa ugenini kwa msimu wa mwaka  2019/2020.

1 COMMENTS:

  1. Jezi nzuri sana hizi, hongera Polisi Tanzania

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic