August 31, 2019


Mwanachama na Shabiki wa Yanga Antonio Nugaz leo amerudisha fomu ya usemaji wa Yanga ikiwa na viambatanisho vyote ambavyo ameambiwa vinahitajika.

Nugaz amesema endapo atakua msemaji wa Yanga ataenda kufanya kazi yake na sio kushindana na mtu kusema Yanga ni Timu kbwa na itafanya mapinduzi ya Aina yake katika Ligi ya Mabingwa.


1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic