September 6, 2019

5 COMMENTS:

  1. Kwanini siku zote vibali na leseni inakuwa ngumu kupatikana kwa Yanga pekee na siyo Azam au Simba???. Jamani tatizo ni nini katika utendaji wa viongozi wa Yanga haswa huyu anayeitwa Mratibu wa Timu ya Yanga Hafidh Saleh....matatizo ya mawasiliano na CAF yanajirudiarudia kwanini?

    ReplyDelete
  2. Kutokujua taratibu na lugha pia inachangia .

    ReplyDelete
  3. Ujuaji wa maneno bila vitendo. Inferiority complex. Kudhani kila mara wanaonewa na kulalamika kusiko na tija.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic