December 30, 2019


KIKOSI cha Simba Queens leo kitamenyana na timu ya Kigoma Sisters kwenye mchezo wa Ligi ya Wanawake Tanzania utakaochezwa uwanja wa Mo Simba Arena.

Mchezo huu utakuwa ni wa pili kwa Simba Queens kutumia uwanja huo ambao unatumika kwa ajili ya mazoezi kwa timu ya Wanaume.

Hakutakuwa na kiingilio kwenye mchezo wa leo unaotarajiwa kuchezwa majira ya saa 10:00 Jioni.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic