December 19, 2019

KOCHA Mkuu wa Singida United, Ramadhani Nsanzurwimo raia wa Burundi amepanga kuongeza idadi ya wachezaji watano ndani ya kikosi hicho wakati huu wa dirisha dogo.
Mrundi huyo amejiunga na Singida United mwanzoni mwa msimu huu akichukua nafasi ya Fred Minziro aliyejiunga na Pamba FC.
“Tayari mwalimu amependekeza wachezaji watano ili kufidia wale ambao wameendoka kuhakikisha timu inakuwa imara kwenye ligi," kilieleza chazo hicho.

Nswanzurimo amesema kuwa kikubwa anachohitaji ni kuona anakuwa na timu imara itakayokuwa tofauti kuliko nyingine.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic