KIUNGO wa timu ya UD Songo, Luis Miquissone amemalizana na mabosi hao wa Simba rasmi.
Kiungo huyo tayari amekabidhiwa jezi na kocha wetu mkuu Sven Vandenbroeck kama inavyoonekana pichani. Huu ni usajili wa kwanza kwa Simba msimu huu kwenye dirisha dogo.
Kocha wenu mkuu?kumbe hii blog ya simba
ReplyDeleteUlikuwa hufahamu kuwa Saleh ni mwanachama mtiifu wa Mikia FC?
DeleteKinacho wawasha nini nyinyi kandambili basi ametambulishwa kwenu huyu mchezaji wetu awe wenu wajinga nyinyi
ReplyDelete