Kaimu Kocha wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa, ametangazwa kuwa kocha bora kwa mwezi uliopita.
Mkwasa ametwaa tuzo ya ukocha bora ikiwa ni muda mchache tangu achukue nafasi hiyo Yanga baada ya kuondoka kwa Mwinyi Zahera ambaye alikuwa anaiona timu hiyo.
Hongera master mkwasa.
ReplyDeletekwa kutoa draw na simba acheni utani utani kocha wa simba kashinda mechi nne mfululizo wakati huyu kashinda mbili na kudraw mbili
ReplyDeletekwa vigezo gani ...kiwango cha Yanga kwa Prison na Biashara kilikuwa hovyo..Kapewa na TFF kwa kuwa aliwafanyia kazi
ReplyDelete