January 14, 2020




Bondia Abdallah Pazi ‘Dullah Mbabe’ bingwa wa Super Middle WBO Asian Pacific alioutwaa 2019 kwa kumtwanga kwa TKO, Zulipikaer Maimaitiali raia wa China katika raundi ya tatu, amesema kuwa msosi wake mkubwa mchana ni ugali na asubuhi anapenda chai na chapati tatu.

Akizungumza na Kijiwe cha Ndondi, Mbabe alisema kuwa katika vitu ambavyo anapenda kuzingatia japo Kibongobongo ni ngumu ni masuala ya msosi hasa kutokana na mazoezi anayofanya.


“Asubuhi napenda nikipata chai na chapati tatu nakuwa
 fresh na mchana mimi ugali huniambii kitu napenda kinoma 
na huwa nakula kweli sio kibishoo,” alisema Mbabe.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic