February 5, 2020


TIMU ya Juventus inafikiria kuinasa saini ya winga wa Manchester City, Leroy Sane.
Nyota huyi ambaye ni raia wa Ujerumani pia amewekwa kwenye rada za Bayern Munich ambao kwa muda mrefu walikuwa wanahitaji kuipata saini yake.kabla hajapata majeruhi kwenye mchezo wa ngao ya Jamii mwezi Agosti.
Tayari imeelezwa kuwa Bayern Munich wapo kwenye mpango wa kurejea mezani kuipata saini ya nyota huyo na inaelezwa itakutana na upinzani mkubwa kutoka kwa timu nyingine zinazoiwinda saini ya mchezaji huyo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic