February 21, 2020

LIONEL Messi, mshambuliaji wa Barcelona amesema kuwa siku ya Alhamisi kwake hupenda kukaa na familia ili kuyajenga masuala mengi yanayowahusu.

Messi kwenye La Liga ametupia jumla ya mabao 14 timu yake ipo nafasi ya pili ikiwa imejikusanyia pointi 52 baada ya kucheza mechi 24.

"Kuna mambo mengi ya kufanya nikiwa na familia ila kutokana na ratiba kuwa ngumu huwa ninapenda siku ya Alhamisi kuzungumza na familia yangu na kufanya mambo kwa pamoja ni muhimu sana kwenye ratiba yangu," amesema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic