LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa vijana wake wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho utakaopigwa Uwanja wa Taifa dhidi ya KMC.
Yanga itashuka uwanjani ikiwa na kumbukumbu ya kushinda bao 1-0 mbele ya Simba lililofungwa na Bernard Morrison kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Taifa Machi 8.
Eymael amesema:"Kila mchezaji yupo tayari na ari ni kubwa kuelekea mchezo wetu wa unaofuata ushindi mbele ya Simba umeongeza morali imani yetu wachezaji watafanya vema mashabiki watupe sapoti.".
Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa msimu huu mbele ya KMC ililazimisha sare ya kufungana bao 1-1
Heeee wewe uandishi gani huu...toka lini Luc Eymael akawa kocha wa Simba ?
ReplyDeleteEti Eymael ni Kocho wa Simba,kweli waandishi wetu ninyi mrudi shule tuu
ReplyDeleteLisemalo lipo kama halipo linakuja
ReplyDeleteWajinga hao
ReplyDeleteWapi palipoelezwa Eymael kocha wa Simba? Au mlitaka iwe hivyo?
ReplyDelete