FT: VPL: Uwanja wa Uhuru
Simba 8-0 Singida United
Goal dk Shibob 59 pasi ya Kanda
Goal: Boco dk 19
Goal : Kagere dk ya 1,25,41,71
Goal: Deo Kanda dk 12, 18 Kagere anafunga bao la kwanza dk ya 1 akimalizia pasi ya Tshabalala
Dakika ya 56 Boban anaonyeshwa kadi nyekundu kwa kuonekana akimpiga kiwiko Manula
Dakika ya 52 Bocco anatoka anaingia Fraga
Dakika ya 45 Kapombe anatoka anaingia Gadiel Michael
Mkude anatoka anaingia Shiboub Kagere anafunga hat trick ya kwanza leo ndani ya msimu wa 2019/20 SIMBA wakiwa na hasira za kufungwa na Yanga bao 1-0 Machi 8 Uwanja wa Taifa leo wanamenyana na Singida United Uwanja wa Uhuru.
Mashabiki waliojitokeza ni wachahche Uwanja wa Uhuru kushuhudia pambano la leo.
This is simba
ReplyDeleteJamani sijaangalia mechi matokeo vipi ya simba na singida?
ReplyDeleteWamenunuliwa mechi ili kuwaziba mdomo wapenzi. Ogopa sana watu waliokibiashara waliojipanga kuichukua timu wapige hela. Ata Yanga kuweni makini kesho msipojipanga na macamera mmepigwa.
ReplyDeleteAcha ushamba, Yanga wangekuwa wazuri wamewahi fika wapi kimataifa kama si kubebwa tu miaka yote.
Delete