March 4, 2020


FT: Azam FC 2- 3 Simba
Uwanja wa Taifa

MPIRA umemalizika Uwanja wa Taifa kwa Simba kushinda kwa mabao 3-2 na kusepa na pointi tatu.

Obrey Chirwa alitungua Aish Manula dakika ya 83 lakini mwamuzi alitafsri kuwa ameotea.
Chilunda alionyeshwa kadi ya njano dk ya 84

Wawa alionyeshwa njano dk 75 Goaal Kagere dk 71 pasi ya Kapombe
Goal dakika ya 49 kwa pasi ya Chilunda

Goaal kwa Simba, Nyoni dk ya 8 na Kanda dk ya 14
Goaal kwa Azam FC dk 4 Tegere

Azam FC inashambulia kwa kushtukiza huku Simba ikiwa kwenye mpango wa kutengeneza nafasi
Dakika moja inaongezwa
Mchezaji wa Azam FC anakuwa wa kwanza kuonyeshwa kadi ya njano Uwanja wa Taifa

Dakika ya 14 Kanda anafunga Goaaal la pili Dakika ya 8 Nyoni anafunga bao kwa kichwa  Dakika ya 4 Nevere Tegere anamtungua Aish Manula kwa guu la kulia


AZAM FC leo imeikaribisha Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Taifa.

Mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Taifa Azam FC ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 mfungaji akiwa ni Meddie Kagere hivyo leo ni mchezo wa kisasi.

8 COMMENTS:

  1. Twataka mkono hapo 5

    ReplyDelete
  2. Ha ha ha ha ha simba ahemea gesi,hapo hakuna mteremko lazima jasho litoke.

    ReplyDelete
  3. Mpira ni kutoka jasho sio draft. Kwani matokeo ya mwisho ngapi ngapi??Ha ha ha ha ha ha

    ReplyDelete
  4. Nikweli tumeuona mkono alioutaka jamaa umetimia.

    ReplyDelete
  5. Penati 2 na bao la offside=Azam kuonewa

    Simba=Goli la Kagere krosi ya kapombe mpira uko nje Je ni Utata?

    ReplyDelete
  6. Mtasumbuka sana lakini kumbukeni jana raisi wa CAF alikuwepo akiangalia mpira mubashara uwanjani na mnazidi kudhihirisha udhaifu wenu maana kama nikushuhudia kiwango cha simba amekishuhudia kwa macho yake sasa wewe endelea kulalama ila mwisho wa siku mwenzako anazidi kupanda kiwango CAF,simba anacheza mpira katika bara la Afrika simba ndio klabu inayocheza mpira wenye burudani kuliko klabu nyingi sana ukweli haupingiki japo povu litawatoka sana,na hata takwimu zinathibitisha kwamba kama kubebwa ni dhana inayotokana na makosa ya waamuzi basi takwimu zinaonyesha YANGA ndio klabu inayoongoza kwakubebwa,tusubiri tarehe 8 maana hapo ndio atajulikana bingwa wa ligi kuu japo tayari maana ni ngumu sana kwa simba kufungwa mechi sita kati ya kumi na mbili alizobakisha,na kwa vile FA fainali itachezwa baada ya ligi kuu simba hatakua na mpango na hilo kombe amini usiamini yeyote atakaecheza na simba FA atashinda.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic