KLABU ya Manchester
United, imewataka nyota wake waliopo nje ya England, ndani ya siku saba kurejea
haraka kuendelea na majukumu yao kama zamani.
Uamuzi huo
umekuja ikiwa ni siku chache baada ya baadhi ya klabu za Premier League kuanza
mazoezi kujiandaa na kurejea kwa ligi hiyo iliyosimama tangu Machi, mwaka huu
kutokana na uwepo wa corona.
Baadhi ya
nyota wa timu hiyo ambao wapo nje ya England ni Fred (Brazil), Victor Lindelof
(Sweden) na Sergio Romero (Argentina).
0 COMMENTS:
Post a Comment