INAELEZWA kuwa Klabu ya Simba imeingia kwenye rada za kuiwinda saini ya Heritier Makambo aliyewahi kuwa mshambuliaji wa Yanga, Heritier Makambo.
Makambo aliachana na Yanga msimu wa 2017/18 akiwa ni namba tatu kwa kutupia ambapo wa kwanza alikuwa ni Meddie Kagere wa Simba aliyetupia 23 na Salim Aiyee aliyekuwa Mwadui FC alitupia 18.
Kwa sasa Makambo anakipiga ndani ya Klabu ya Horoya AC ya nchini Guinea alisaini dili la miaka mitatu kuitumikia timu hiyo.
Habari zinaeleza kuwa tayari uongozi wa Simba umeshaanza kufanya mazungumzo na mabosi wa Horoya ili kupata saini ya nyota huyo mwenye uzoefu wa kucheka na nyavu.
"Msimu ujao Yanga itapata tabu kwani idadi kubwa ya wachezaji wao wanaweza kuonekana wakikipiga ndani ya Simba na mpaka sasa asilimia kubwa kwa Makambo kukipiga Simba msimu ujao.
"Yanga ilishindwa kuvunja mkataba wake kule Horoya AC ila ndani ya Simba kila kitu kimekuwa sawa na bodi imekubali kuingia chimbo kuiwinda saini yake," ilieleza taarifa hiyo.
Awali taarifa zilieleza kuwa Yanga ilikuwa inaiwinda saini ya nyota huyo ili arejee ndani ya kikosi hicho.
Makambo aliachana na Yanga msimu wa 2017/18 akiwa ni namba tatu kwa kutupia ambapo wa kwanza alikuwa ni Meddie Kagere wa Simba aliyetupia 23 na Salim Aiyee aliyekuwa Mwadui FC alitupia 18.
Kwa sasa Makambo anakipiga ndani ya Klabu ya Horoya AC ya nchini Guinea alisaini dili la miaka mitatu kuitumikia timu hiyo.
Habari zinaeleza kuwa tayari uongozi wa Simba umeshaanza kufanya mazungumzo na mabosi wa Horoya ili kupata saini ya nyota huyo mwenye uzoefu wa kucheka na nyavu.
"Msimu ujao Yanga itapata tabu kwani idadi kubwa ya wachezaji wao wanaweza kuonekana wakikipiga ndani ya Simba na mpaka sasa asilimia kubwa kwa Makambo kukipiga Simba msimu ujao.
"Yanga ilishindwa kuvunja mkataba wake kule Horoya AC ila ndani ya Simba kila kitu kimekuwa sawa na bodi imekubali kuingia chimbo kuiwinda saini yake," ilieleza taarifa hiyo.
Awali taarifa zilieleza kuwa Yanga ilikuwa inaiwinda saini ya nyota huyo ili arejee ndani ya kikosi hicho.
Makambo ndani ya Simba hatazomewa hata Mara moja hata pindi akikosea na hayo tumeshayaona pale Mkude alipotiwa pasi kwa kukosa akafunga goli na hapana hata aliyeyataja tena kwani huo nd ndio utamadumi wa Mnyama. Nidham imetawala na hata walivokuwa wa tundu hapo nyuma sasa shuari wakichapa kazi
ReplyDeleteNyoooooo kweli wewe nimkia hata historia yako huijui kakimya mama
ReplyDeleteEti nyoooo yani kauli zako zinaonekana kabisa wewe ndo mama,kama hujui historia basi simba haina tabia ya kuzomea mchezaji hiyo ni tabia ya utoporo F.C nyie si ndo mlikuwa mnazomea MSUVA mpaka akawa analia
DeleteSimba kama wanataka kushindana kimataifa watafute wachezaji kama kalivyomsajili Chama haya.mambo ya kuangalia mchezaji aliyecheza yanga hayatawafikisha popote
ReplyDeleteMakambo hana kiwangi cha kuchezea Simba. Kama kule Horoya kwenyewe ambao hawana ubavu wa kuifunga simba anakaa benchi sana je Simba ataweza nini? Alionekana mzuri Yanga sababu pale yanga hakukuwa na wafungaji. Kwa Simba wamechemsha sana tena sana kumtafuta Makambo. Nahisi Simba nao hawana pesa yan kusajili majembe ya maana toka Afrika Magharibi
ReplyDeleteHizi habari si za kweli habari za simba sasa hivi kuzipata ni kazi kwa hiyo waandishi wengi wanafoji habari ili wauze magazeti yao
ReplyDeleteNi habari za kutunga tu hizi. Simba sasa hivi habari zao mpaka watoe wenyewe. Bado hawajaanza kufanya usajili.
ReplyDeleteSawa kabisa
Deletemakambo akikaa mbele ya chama na miqssune atafunga mpaka achukie
ReplyDeleteHakuna mchezaji hapo tafuteni wachezaji wazuri acheni na huyo
ReplyDeletesimba inachukua mchezaji wa timu ya taifa
ReplyDelete